Upenyezaji na Ukubalifu wa Mkururo wa Konsonanti katika Fonolojia ya Kiswahili: Mifano katika Maneno Yaliyopokelewa kutoka Kiingereza na Kiarabu

Makala haya yanachunguza jinsi mikururo ya konsonanti [Skr-]/[Sk-], [Spr-]/[Sp-], na [Str-]/[St-] ilivyopokelewa katika fonolojia ya Kiswahili kutoka Kiarabu na Kiingereza. Lengo kuu ni kuelezea jinsi mikururo hiyo ya konsonanti ilivyopenyeza na kukubalika katika mfumo wa fonolojia ya Kiswahili. Mif...

Full description

Saved in:
Bibliographic Details
Main Author: David, Majariwa
Format: Article
Published: Taasisi ya Taaluma za Kiswahili 2022
Subjects:
Online Access:http://hdl.handle.net/20.500.12493/618
Tags: Add Tag
No Tags, Be the first to tag this record!