Uchunguzi wa Sababu za Kuwapo Kwa Wanafunzi Wachache Wanaolichagua Somo la Kiswahili Katika Kiwango Cha “A” Nchini Uganda: Mfano wa Shule za Upili Wilayani Rukungiri.

Katika Tasnifu, mtafiti anaeleza visababishi vya idadi kubwa ya wanafunzi katika shule za upili nchini Uganda kutochukua somo la Kiswahili. Wakati wa kupunguza idadi ya masomo kwa kila mwanafunzi unapofika, wanafunzi huwa na sababu za kimsingi zinazowafanya wapendelee masomo fulani na kuyakataa meng...

Full description

Saved in:
Bibliographic Details
Main Author: Mpobwengye, Horeb
Format: Thesis
Language:other
Published: Kabale University 2025
Subjects:
Online Access:http://hdl.handle.net/20.500.12493/2838
Tags: Add Tag
No Tags, Be the first to tag this record!