Uchunguzi wa Sababu za Kuwapo Kwa Wanafunzi Wachache Wanaolichagua Somo la Kiswahili Katika Kiwango Cha “A” Nchini Uganda: Mfano wa Shule za Upili Wilayani Rukungiri.
Katika Tasnifu, mtafiti anaeleza visababishi vya idadi kubwa ya wanafunzi katika shule za upili nchini Uganda kutochukua somo la Kiswahili. Wakati wa kupunguza idadi ya masomo kwa kila mwanafunzi unapofika, wanafunzi huwa na sababu za kimsingi zinazowafanya wapendelee masomo fulani na kuyakataa meng...
Saved in:
Main Author: | |
---|---|
Format: | Thesis |
Language: | other |
Published: |
Kabale University
2025
|
Subjects: | |
Online Access: | http://hdl.handle.net/20.500.12493/2838 |
Tags: |
Add Tag
No Tags, Be the first to tag this record!
|
_version_ | 1823844182993666048 |
---|---|
author | Mpobwengye, Horeb |
author_facet | Mpobwengye, Horeb |
author_sort | Mpobwengye, Horeb |
collection | KAB-DR |
description | Katika Tasnifu, mtafiti anaeleza visababishi vya idadi kubwa ya wanafunzi katika shule za upili nchini Uganda kutochukua somo la Kiswahili. Wakati wa kupunguza idadi ya masomo kwa kila mwanafunzi unapofika, wanafunzi huwa na sababu za kimsingi zinazowafanya wapendelee masomo fulani na kuyakataa mengine. Kwa kawaida wanafunzi huwa hawalazimishwi kuchukua masomo fulani. Kila mwanafunzi huwa na uhuru wa kuchagua masomo anayoyapenda. Imebainika wazi kuwa nchini Uganda, wakati wa wanafunzi kupunguza idadi ya masomo unapofika, wengi wao huwa wanaacha somo la Kiswahili. Katika darasa la wanafunzi mia moja, ni wanafunzi kumi au kumi na watano tu ndio wanachukua Kiswahili. Hali hii inatisha sana hasa kwa wapenzi wa Kiswahili. Hivyo basi, mtafiti aliendeleza utafiti huu ili kueleza sababu zinazopelekea wanafunzi kufanya hivyo. Dhamira ya utafiti ni kueleza bayana kwa nini wanafunzi wengi nchini Uganda huwa hawachukui somo la Kiswahili katika kiwango cha “A”. Madhumuni ya utafiti huu ni kueleza mielekeo ya wanafunzi wa shule za sekondari nchini Uganda dhidi ya ujifunzaji wa lugha ya Kiswahili na Kupendekeza njia mbalimbali za kuondokana na sababu za kuwapo kwa wanafunzi wachache wanaolichagua somo la kiswahili katika kiwango cha “A” katika shule za upili wilayani Rukungiri. Katika kazi hii, mkabala wa utafiti ulikuwa wa nyanjani. Kwa kutumia mkabala huu, mtafiti alizuru nyanjani na kuendeleza mahojiano na wahojiwa wake. Utafiti huu umeonyesha kuwa wanafunzi wa shule za sekondari nchini Uganda huwa hawapendelei somo la Kiswahili kwa sababu zifuatazo: kuwepo na sera mbovu nchini kuhusu lugha ya Kiswahili; wanafunzi kutokuwa na msingi wa lugha ya Kiswahili; wanafunzi kuwa na fikra potovu kuwa Kiswahili ni lugha ya wezi; wanafunzi kufikiria kuwa Kiswahili ni somo linalofaa wenzao kutoka Kenya na Uganda; wanafunzi kufikiria kuwa lugha ya Kiswahili ni ngumu; |
format | Thesis |
id | oai:idr.kab.ac.ug:20.500.12493-2838 |
institution | KAB-DR |
language | other |
publishDate | 2025 |
publisher | Kabale University |
record_format | dspace |
spelling | oai:idr.kab.ac.ug:20.500.12493-28382025-01-18T00:00:34Z Uchunguzi wa Sababu za Kuwapo Kwa Wanafunzi Wachache Wanaolichagua Somo la Kiswahili Katika Kiwango Cha “A” Nchini Uganda: Mfano wa Shule za Upili Wilayani Rukungiri. Mpobwengye, Horeb Uchunguzi Sababu Kuwapo Wanafunzi Wachache Wanaolichagua Somo Kiswahili Kiwango Nchini Uganda Shule Wilayani Rukungiri Katika Tasnifu, mtafiti anaeleza visababishi vya idadi kubwa ya wanafunzi katika shule za upili nchini Uganda kutochukua somo la Kiswahili. Wakati wa kupunguza idadi ya masomo kwa kila mwanafunzi unapofika, wanafunzi huwa na sababu za kimsingi zinazowafanya wapendelee masomo fulani na kuyakataa mengine. Kwa kawaida wanafunzi huwa hawalazimishwi kuchukua masomo fulani. Kila mwanafunzi huwa na uhuru wa kuchagua masomo anayoyapenda. Imebainika wazi kuwa nchini Uganda, wakati wa wanafunzi kupunguza idadi ya masomo unapofika, wengi wao huwa wanaacha somo la Kiswahili. Katika darasa la wanafunzi mia moja, ni wanafunzi kumi au kumi na watano tu ndio wanachukua Kiswahili. Hali hii inatisha sana hasa kwa wapenzi wa Kiswahili. Hivyo basi, mtafiti aliendeleza utafiti huu ili kueleza sababu zinazopelekea wanafunzi kufanya hivyo. Dhamira ya utafiti ni kueleza bayana kwa nini wanafunzi wengi nchini Uganda huwa hawachukui somo la Kiswahili katika kiwango cha “A”. Madhumuni ya utafiti huu ni kueleza mielekeo ya wanafunzi wa shule za sekondari nchini Uganda dhidi ya ujifunzaji wa lugha ya Kiswahili na Kupendekeza njia mbalimbali za kuondokana na sababu za kuwapo kwa wanafunzi wachache wanaolichagua somo la kiswahili katika kiwango cha “A” katika shule za upili wilayani Rukungiri. Katika kazi hii, mkabala wa utafiti ulikuwa wa nyanjani. Kwa kutumia mkabala huu, mtafiti alizuru nyanjani na kuendeleza mahojiano na wahojiwa wake. Utafiti huu umeonyesha kuwa wanafunzi wa shule za sekondari nchini Uganda huwa hawapendelei somo la Kiswahili kwa sababu zifuatazo: kuwepo na sera mbovu nchini kuhusu lugha ya Kiswahili; wanafunzi kutokuwa na msingi wa lugha ya Kiswahili; wanafunzi kuwa na fikra potovu kuwa Kiswahili ni lugha ya wezi; wanafunzi kufikiria kuwa Kiswahili ni somo linalofaa wenzao kutoka Kenya na Uganda; wanafunzi kufikiria kuwa lugha ya Kiswahili ni ngumu; 2025-01-17T16:17:02Z 2025-01-17T16:17:02Z 2024 Thesis Mpobwengye, Horeb (2024). Uchunguzi wa Sababu za Kuwapo Kwa Wanafunzi Wachache Wanaolichagua Somo la Kiswahili Katika Kiwango Cha “A” Nchini Uganda: Mfano wa Shule za Upili Wilayani Rukungiri. Kabale: Kabale University. http://hdl.handle.net/20.500.12493/2838 other Attribution-NonCommercial-NoDerivs 3.0 United States http://creativecommons.org/licenses/by-nc-nd/3.0/us/ application/pdf Kabale University |
spellingShingle | Uchunguzi Sababu Kuwapo Wanafunzi Wachache Wanaolichagua Somo Kiswahili Kiwango Nchini Uganda Shule Wilayani Rukungiri Mpobwengye, Horeb Uchunguzi wa Sababu za Kuwapo Kwa Wanafunzi Wachache Wanaolichagua Somo la Kiswahili Katika Kiwango Cha “A” Nchini Uganda: Mfano wa Shule za Upili Wilayani Rukungiri. |
title | Uchunguzi wa Sababu za Kuwapo Kwa Wanafunzi Wachache Wanaolichagua Somo la Kiswahili Katika Kiwango Cha “A” Nchini Uganda: Mfano wa Shule za Upili Wilayani Rukungiri. |
title_full | Uchunguzi wa Sababu za Kuwapo Kwa Wanafunzi Wachache Wanaolichagua Somo la Kiswahili Katika Kiwango Cha “A” Nchini Uganda: Mfano wa Shule za Upili Wilayani Rukungiri. |
title_fullStr | Uchunguzi wa Sababu za Kuwapo Kwa Wanafunzi Wachache Wanaolichagua Somo la Kiswahili Katika Kiwango Cha “A” Nchini Uganda: Mfano wa Shule za Upili Wilayani Rukungiri. |
title_full_unstemmed | Uchunguzi wa Sababu za Kuwapo Kwa Wanafunzi Wachache Wanaolichagua Somo la Kiswahili Katika Kiwango Cha “A” Nchini Uganda: Mfano wa Shule za Upili Wilayani Rukungiri. |
title_short | Uchunguzi wa Sababu za Kuwapo Kwa Wanafunzi Wachache Wanaolichagua Somo la Kiswahili Katika Kiwango Cha “A” Nchini Uganda: Mfano wa Shule za Upili Wilayani Rukungiri. |
title_sort | uchunguzi wa sababu za kuwapo kwa wanafunzi wachache wanaolichagua somo la kiswahili katika kiwango cha a nchini uganda mfano wa shule za upili wilayani rukungiri |
topic | Uchunguzi Sababu Kuwapo Wanafunzi Wachache Wanaolichagua Somo Kiswahili Kiwango Nchini Uganda Shule Wilayani Rukungiri |
url | http://hdl.handle.net/20.500.12493/2838 |
work_keys_str_mv | AT mpobwengyehoreb uchunguziwasababuzakuwapokwawanafunziwachachewanaolichaguasomolakiswahilikatikakiwangochaanchiniugandamfanowashulezaupiliwilayanirukungiri |