Mchango Wa Methali Za Kiswahili Katika Kukuza Umilisi Wa Lugha Ya Kiswahili Kwa Wanafunzi Wa Shule Za Upili Wilayani Ntungamo.

Mada ya utafiti huu ilikuwa ni Mchango wa Methali za Kiswahili katika Kukuza Umilisi wa Lugha ya Kiswahili kwa Wanafunzi wa shule za Upili Wilayani Ntungamo. Lengo kuu la utafiti huu lilikuwa ni kuchunguza mchango wa methali za Kiswahili katika kukuza umilisi wa lugha ya Kiswahili kwa wanafunzi wa s...

Full description

Saved in:
Bibliographic Details
Main Author: Katsigaire, Joshua
Format: Thesis
Language:en_US
Published: Kabale University 2024
Subjects:
Online Access:http://hdl.handle.net/20.500.12493/2106
Tags: Add Tag
No Tags, Be the first to tag this record!