Ulinganishaji wa Maisha Katika Tamthilia ya Mizigo Na Ya Jamii Wilayani Mbarara.

Tamthilia Wamitila, (2002) katika Uhakiki wa fasihi ameeleza kuwa, neno tamthiliya kwa upana wake linatumiwa kujumuisha maneno drama na play ya Kiingereza. Kwa hiyo, tamthiliya ni utungo unaoandikwa kwa mtindo wa mazungumzo. Ubora wa fasili hii imezingatia kipengele cha mazungumzo ambacho ni kipenge...

Full description

Saved in:
Bibliographic Details
Main Author: Turinawe, James
Format: Thesis
Language:en_US
Published: Kabale University 2024
Subjects:
Online Access:http://hdl.handle.net/20.500.12493/2044
Tags: Add Tag
No Tags, Be the first to tag this record!
_version_ 1803933477535481856
author Turinawe, James
author_facet Turinawe, James
author_sort Turinawe, James
collection KAB-DR
description Tamthilia Wamitila, (2002) katika Uhakiki wa fasihi ameeleza kuwa, neno tamthiliya kwa upana wake linatumiwa kujumuisha maneno drama na play ya Kiingereza. Kwa hiyo, tamthiliya ni utungo unaoandikwa kwa mtindo wa mazungumzo. Ubora wa fasili hii imezingatia kipengele cha mazungumzo ambacho ni kipengele muhimu katika tamthiliya. Wilaya ya Mbarara Wilaya ya Mbarara iko katika eneo la Magharibi mwa Uganda. Ilipakana na mkoa wa Ntungamo upande wa kusini, Wilaya ya Kiruhura upande wa mashariki, Wilaya ya Isingiro upande wa kaskazini-mashariki, na Wilaya ya Buhweju upande wa magharibi. Dhana ya Jamii Jamii ni msamiati ambao katika maisha ya kila siku tunautumia kuashiria maana fulani; ama, kulingana na muktadha au kwa maana halisi ya kileksia. Kamusi ya Kiswahili sanifu ya (2004) inafafanua kiduchu maana ya neno “Jamii” kuwa ni mkusanyiko wa watu au vitu. Vilevile, Kamusi ya Kiingereza Oxford Advanced Learner's Dictionary (2010), inafafanua kuwa Jamii ni watu kwa pamoja, waishio pamoja kwenye ujima; ni ujima fulani wa watu wenye desturi, tabia na sheria za aina moja. Simiyu (2011) katika Kitovu cha fasihi Simulizi anasema kuwa Jamii ni kikundi cha watu wanaotumia lugha moja, wana utamaduni mmoja na wanapatikana katika eneo moja la mastakimu. Kwa hiyo,kwa maoni yetu, ni sawa kabisa kufasili Jamii kama mkusanyiko au kundi la watu waliokusanyika sehemu fulani kama kijiji, kata, tarafa, wilaya, mkoa, kanda na taifa. Watu hawa huishi kama wamoja, na wenye kufuata utaratibu au kanuni fulani za kimaisha walizojiwekea wao wenyewe. Mkusanyiko huo wa watu unakuwa na utamaduni wake, unaodhihirika katika mila na desturi na mielekeo fulani ya kimaisha.
format Thesis
id oai:idr.kab.ac.ug:20.500.12493-2044
institution KAB-DR
language en_US
publishDate 2024
publisher Kabale University
record_format dspace
spelling oai:idr.kab.ac.ug:20.500.12493-20442024-06-12T12:49:52Z Ulinganishaji wa Maisha Katika Tamthilia ya Mizigo Na Ya Jamii Wilayani Mbarara. Turinawe, James Ulinganishaji Maisha Tamthilia Mizigo Jamii Wilayani Mbarara Tamthilia Wamitila, (2002) katika Uhakiki wa fasihi ameeleza kuwa, neno tamthiliya kwa upana wake linatumiwa kujumuisha maneno drama na play ya Kiingereza. Kwa hiyo, tamthiliya ni utungo unaoandikwa kwa mtindo wa mazungumzo. Ubora wa fasili hii imezingatia kipengele cha mazungumzo ambacho ni kipengele muhimu katika tamthiliya. Wilaya ya Mbarara Wilaya ya Mbarara iko katika eneo la Magharibi mwa Uganda. Ilipakana na mkoa wa Ntungamo upande wa kusini, Wilaya ya Kiruhura upande wa mashariki, Wilaya ya Isingiro upande wa kaskazini-mashariki, na Wilaya ya Buhweju upande wa magharibi. Dhana ya Jamii Jamii ni msamiati ambao katika maisha ya kila siku tunautumia kuashiria maana fulani; ama, kulingana na muktadha au kwa maana halisi ya kileksia. Kamusi ya Kiswahili sanifu ya (2004) inafafanua kiduchu maana ya neno “Jamii” kuwa ni mkusanyiko wa watu au vitu. Vilevile, Kamusi ya Kiingereza Oxford Advanced Learner's Dictionary (2010), inafafanua kuwa Jamii ni watu kwa pamoja, waishio pamoja kwenye ujima; ni ujima fulani wa watu wenye desturi, tabia na sheria za aina moja. Simiyu (2011) katika Kitovu cha fasihi Simulizi anasema kuwa Jamii ni kikundi cha watu wanaotumia lugha moja, wana utamaduni mmoja na wanapatikana katika eneo moja la mastakimu. Kwa hiyo,kwa maoni yetu, ni sawa kabisa kufasili Jamii kama mkusanyiko au kundi la watu waliokusanyika sehemu fulani kama kijiji, kata, tarafa, wilaya, mkoa, kanda na taifa. Watu hawa huishi kama wamoja, na wenye kufuata utaratibu au kanuni fulani za kimaisha walizojiwekea wao wenyewe. Mkusanyiko huo wa watu unakuwa na utamaduni wake, unaodhihirika katika mila na desturi na mielekeo fulani ya kimaisha. 2024-06-07T10:38:42Z 2024-06-07T10:38:42Z 2024 Thesis Turinawe, James (2024). Ulinganishaji wa Maisha Katika Tamthilia ya Mizigo Na Ya Jamii Wilayani Mbarara. Kabale: Kabale University. http://hdl.handle.net/20.500.12493/2044 en_US Attribution-NonCommercial-NoDerivs 3.0 United States http://creativecommons.org/licenses/by-nc-nd/3.0/us/ application/pdf Kabale University
spellingShingle Ulinganishaji
Maisha
Tamthilia
Mizigo Jamii Wilayani
Mbarara
Turinawe, James
Ulinganishaji wa Maisha Katika Tamthilia ya Mizigo Na Ya Jamii Wilayani Mbarara.
title Ulinganishaji wa Maisha Katika Tamthilia ya Mizigo Na Ya Jamii Wilayani Mbarara.
title_full Ulinganishaji wa Maisha Katika Tamthilia ya Mizigo Na Ya Jamii Wilayani Mbarara.
title_fullStr Ulinganishaji wa Maisha Katika Tamthilia ya Mizigo Na Ya Jamii Wilayani Mbarara.
title_full_unstemmed Ulinganishaji wa Maisha Katika Tamthilia ya Mizigo Na Ya Jamii Wilayani Mbarara.
title_short Ulinganishaji wa Maisha Katika Tamthilia ya Mizigo Na Ya Jamii Wilayani Mbarara.
title_sort ulinganishaji wa maisha katika tamthilia ya mizigo na ya jamii wilayani mbarara
topic Ulinganishaji
Maisha
Tamthilia
Mizigo Jamii Wilayani
Mbarara
url http://hdl.handle.net/20.500.12493/2044
work_keys_str_mv AT turinawejames ulinganishajiwamaishakatikatamthiliayamizigonayajamiiwilayanimbarara