Nafasi ya Leksikoni yenye Vipashio Ghairi kutoka Kiingereza na Kiarabu katika Fonolojia ya Leksikoni ya Kiswahili Sanifu

Makala haya yanahusu ubainishaji wa nafasi ya leksikoni ya mkopo yenye vipashio ghairi katika leksikoni ya Kiswahili sanifu. Data zilizotumiwa katika makala haya zilikusanywa kutoka makavazi ya Taasisi ya Taaluma za Kiswahili, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam. Mbinu za uhakiki matini na usomaji nyaraka...

Full description

Saved in:
Bibliographic Details
Main Author: David, Majariwa
Format: Article
Language:English
Published: 2023
Online Access:http://hdl.handle.net/20.500.12493/1138
Tags: Add Tag
No Tags, Be the first to tag this record!